Comments

Diamond, Mwana FA na Alikiba waongoza chart ya Mkito ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi


Diamond Platnumz, Mwana FA na Alikiba ndio wasanii ambao nyimbo zao zimepakuliwa zaidi kwenye mtandao wa Mkito. 


Hizi ni nyimbo 10 zilizoongoza kwenye orodha hiyo ya nyimbo 100 zilizopakuliwa zaidi tangu kuanzishwa kwa mtandao huo. 

1.Diamond – Ntampata Wapi
2.Mwana FA f/ AliKiba – Kiboko Yangu
3.Yamoto Band – Ntakupwelepweta
4.Alikiba – Mwana
5.Joh Makini – XO
6.Young Killer f/ Fid Q – 13
7.Vanessa & Barnaba – Siri
8.Yamoto Band – Niseme
9.Roma – Mwanakondoo
10.Diamond Platnumz – Kisa
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos