Comments

Februari Hii: Mashindano ya Taifa Mpira Wa Meza Kuanza


Mashindano ya Taifa ya mchezo wa Mpira wa meza yanatarajiwa kuanza Fabruari mwaka huu kwa kushirikisha vilabu zaidi ya 10 kutoka mikoa mbalimbali hapa nchini.
Mwenyekiti wa kamati ya Ufundi wa Chama cha Mpira wa Meza nchini TTTA, Yahya Mwingilwa amesema michuano hiyo itakuwa ya kutoka ambapo timu zitakuwa zikicheza nyumbani na ugenini.

Mwingilwa amesema, vilabu ambavyo havina vitendea kazi vya mchezo huo, vitatumia shule ya Sekondari ya Kisutu kwa mechi zote yaani za ugenini na nyumbani.

Mwingilwa amesema, katika michuano hiyo wanaamini wataweza kupata vijana wenye vipaji wataingia katika timu ya taifa na kuweza kushiriki mashindano mbalimbali ya ndani na nje ya nchi.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos