Comments

Mpoto aanza uandishi wa vitabu vya ushairi kwaajili ya shule

Msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto anatarajia kuanza kuandika vitabu mbalimbali vya mashairi vitakavyotumika shuleni ili kuongeza maarifa kwa wanafunzi. 

Akizungumza hii leo, msemaji wa Mpoto Theatre Gallery Ltd, Dominic Kaura amedai kuwa Mpoto anaweza kuandika vitabu kama waandishi wengine wakubwa wa Afrika.

Sasa Mpoto yupo tayari kuwa mwandishi wa vitabu vya mashairi kama akina Shaaban Robert, Chinua Achebe na wengine,” amesema Kaura.

“Kwa sasa hivi tumeshaanza mchakato wa kufanya uandishi wa vitabu vya mashairi na baada ya hapo tutaangalia utaratibu ili vitumike kufundishia kwenye mashule mbalimbali. Hivi vitabu vitakuwa vinazungumzia mambo ya kijamii ambayo yatawajenga wanafunzi katika taifa hili na lijalo.”
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos