Comments

Mwimbaji wa Colombia, Shakira (37) amejifungua mtoto wake wa...

Mwimbaji wa Colombia, Shakira (37) amejifungua mtoto wake wa pili wa kiume siku ya Alhamisi usiku huko Barcelona.

Hit maker wa ‘Waka Waka’ pamoja na mzazi mwenzake mcheza mpira Gerard Piqué wamempatia jina la Sasha.


Shakira, Grerald na mtoto wao wa kwanza Milan

Kwa mujibu wa Daily Mail, Shakira na boyfriend wake walichukua floor nzima ya hospitali ya Quirón Teknon, huko Barcelona kwaajili ya kujifungua. Mtoto huyo alizaliwa mikononi mwa daktari yule yule aliyemzalisha mtoto wao wa kwanza mwenye miaka miwili sasa Milan.

Shakira na Gerard Piqué walianza uhusiano mwaka 2010.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos