Rapper Nash MC amedai kuwa wasanii wote wa Hip Hop nchini waliowahi kushinda tuzo mbalimbali ama wenye nafasi kwenye jamii hajawahi kufanya kitu chochote kuutetea muziki huo.
Nash amesema wasanii hao hakuna walichofanya ilhali wakishuhudia muziki wa Hip Hop ukididimizwa kwa kauli za kuwakatisha watu tamaa kuhusu muziki huo.
“Nisingependa kuzungumzia mambo yangu binafsi kwa sababu kuna matatizo yametokea, matatizo haya yanahusu utamaduni mzima wa Hip Hop. Mimi ningeomba kuna masuala yamekuwa yanachanganya sana, miaka ya hivi karibuni watu wamekuwa wakiizungumzia Hip Hop vibaya sana. Hip Hop imekuwa ikizungumziwa vibaya na kinachonisikitisha zaidi wasanii wote waliopewa dhamana ya Hip Hop kwa maana kwamba waliowahi kupewa tuzo mwanzoni mpaka sasa hakuna walichofanya kukaa na kuongelea na kuitetea Hip Hop,” alisema Nash.
“Sio waliopewa tuzo mwanzo wakati zinaanzishwa mpaka huyu aliyepewa juzi, wote waliopewa tuzo ambazo zinaitwa ni Hip Hop hawajafanya kitu chochote kwenye kutetea Hip Hop na kwaajili ya watu wa Hip Hop na kwa jamii nzima ya Hip Hop. Sasa ivi kuna jambo kubwa linaendelea, hili suala la Hip Hop sio muziki wa biashara, Hip Hop sijui ni ugumu, huu mtazamo anauleta nani? Huu mtazamo kwanini unapendwa? Kuna baadhi ya watangazaji, baadhi ya radio, baadhi ya watu wanaipotosha jamii,” aliongeza.
“Nikupe tu neno dogo sana niwape faida watanzania, utamaduni wa Hip Hop kazi yake ni kusambaza Love, Peace, Unity and Happiness ndio Hip Hop kitu ambacho tunasambaza na tuna kanuni zetu zinakataza yale yote yaliyokuwa mabaya. Lakini leo hii radio baadhi ya watangazaji walioajiriwa kupitia kaka zao ama ndugu zao, hizi kazi za kuitwa radioni ‘njoo nishamwambia kaka yako kesho utaingia utatangaza’, watangazaji wa namna hii ndio leo hii wanatuaribia utamaduni wa Hip Hop. Mimi nawaomba kama haujui Hip Hop au haufatilii Hip Hop achana na kuiongelea Hip Hop vibaya.”
Home / hip hop /
MUZIKI /
Nash MC /
Tanzania
/ Nash MC::rappers waliowahi kushinda tuzo hawaitetei hip hop (Tz)
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
New Hope Company. Powered by Blogger.
Wazo Hai
Search This Blog
Blog Archive
Flickr
Social Share
Featured
Featured
Labels
- 'Sugu'
- (KMK)
- (PAC)
- 2015
- action movie.
- Afrika
- Afrika.(Ewura)
- AFYA
- Ajira
- al-Qaida
- Alhaji Aliko Dangote
- Amnesty International
- Anti-Balaka.Théophile Guéréngou
- Australia
- Avril
- AY
- Babu Tale
- Ban Ki-moon
- BBC
- Beijing
- BELLE 9
- Beyonce
- BLOG & NEWS PAPER
- Boko Haram
- Bongo Movie
- Borno
- BUNGE LA TANZANIA
- BURUDANI
- Burudani na muziki
- Burudani na muziki ‘
- Burudani na muziki ‘H.Baba
- Burudani na muziki ‘Show You The Money’
- CAR
- CAR!
- Chad
- Charlie HebdoMtume
- Charlie"
- China
- Chriss brown
- Christopher Cornell
- Comedy
- Dar es Salaam.
- Davido
- DAWASCO
- Destiny’s Child
- Diamond
- Diamond Platnumz
- DIVA
- DJS SCRATCH
- Dk Ali Muhammed Shein
- Dkt Jakaya Kikwete
- Ebola
- Elimu
- ENTERTAINMENT
- Escrow
- FBI
- FIFA Ballon d’Or
- Flora Mvungi
- Francois Bozize
- Guinea
- HABARI
- hip hop
- ICC
- Iran
- Iringa
- Jackie Chan
- Jaji Joseph Warioba
- Jan. 8
- Janeth Mbene
- Jaycee Chan
- Joh Makini
- John Wortherspoon
- Joseph Mbilinyi
- Josephine Kishiwa
- Juxii
- Kenya
- King Crazy GK
- Kitonga
- Lamar
- LRA
- MAAJABU ya DUNIA
- Makomando
- Malawi
- MAPENZI NA NDOA
- Masekelo
- MATOKEO 2014
- Mbeya
- Mbeya city
- Michezo
- Michezo Na Burudani
- MITINDO YA MAVAZI
- Movies
- MSUMBIJI
- Mtwara
- Muheza
- music
- Mussa Taibu
- MUZIKI
- Nairobi
- Nash MC
- Navy Kenzo
- Ngeria
- Niger
- Nigeria
- Nigeria.Tanzania
- Ommy Dimpoz.
- Photos
- Producer Nash Designer
- Profesa Mark Mwandosya
- RADIO
- RADIO TEHRAN
- Rais
- Salous Chilima
- Saudi Arabia 'Forum Liberal Saudi Network'
- Shaa
- Shinyanga
- Siasa
- Somalia
- Sospeter Muhongo
- Steven Muhapa
- Subira Mgalu
- t
- Tanga
- Tanzania
- Tanzania.
- Tanzasnia
- Tazara
- TRA
- TV
- TZ & ZAMBIA
- Ubelgiji
- Ufaransa
- Uganda
- Urembo
- Vanessa Mdee
- Wazo Hai
- Wizara ya Afya Zanzibar
- Yamoto Band
- Yemen
- Zambia
- Zanzibar.Dk Mohammed Saleh Jidawi
- Zari
- Zarinah Tlale
- Zitto Kabwe
TANGAZA NASI HAPA
Tags
- 'Sugu'
- (KMK)
- (PAC)
- 2015
- action movie.
- Afrika
- Afrika.(Ewura)
- AFYA
- Ajira
- al-Qaida
- Alhaji Aliko Dangote
- Amnesty International
- Anti-Balaka.Théophile Guéréngou
- Australia
- Avril
- AY
- Babu Tale
- Ban Ki-moon
- BBC
- Beijing
- BELLE 9
- Beyonce
- BLOG & NEWS PAPER
- Boko Haram
- Bongo Movie
- Borno
- BUNGE LA TANZANIA
- BURUDANI
- Burudani na muziki
- Burudani na muziki ‘
- Burudani na muziki ‘H.Baba
- Burudani na muziki ‘Show You The Money’
- CAR
- CAR!
- Chad
- Charlie HebdoMtume
- Charlie"
- China
- Chriss brown
- Christopher Cornell
- Comedy
- Dar es Salaam.
- Davido
- DAWASCO
- Destiny’s Child
- Diamond
- Diamond Platnumz
- DIVA
- DJS SCRATCH
- Dk Ali Muhammed Shein
- Dkt Jakaya Kikwete
- Ebola
- Elimu
- ENTERTAINMENT
- Escrow
- FBI
- FIFA Ballon d’Or
- Flora Mvungi
- Francois Bozize
- Guinea
- HABARI
- hip hop
- ICC
- Iran
- Iringa
- Jackie Chan
- Jaji Joseph Warioba
- Jan. 8
- Janeth Mbene
- Jaycee Chan
- Joh Makini
- John Wortherspoon
- Joseph Mbilinyi
- Josephine Kishiwa
- Juxii
- Kenya
- King Crazy GK
- Kitonga
- Lamar
- LRA
- MAAJABU ya DUNIA
- Makomando
- Malawi
- MAPENZI NA NDOA
- Masekelo
- MATOKEO 2014
- Mbeya
- Mbeya city
- Michezo
- Michezo Na Burudani
- MITINDO YA MAVAZI
- Movies
- MSUMBIJI
- Mtwara
- Muheza
- music
- Mussa Taibu
- MUZIKI
- Nairobi
- Nash MC
- Navy Kenzo
- Ngeria
- Niger
- Nigeria
- Nigeria.Tanzania
- Ommy Dimpoz.
- Photos
- Producer Nash Designer
- Profesa Mark Mwandosya
- RADIO
- RADIO TEHRAN
- Rais
- Salous Chilima
- Saudi Arabia 'Forum Liberal Saudi Network'
- Shaa
- Shinyanga
- Siasa
- Somalia
- Sospeter Muhongo
- Steven Muhapa
- Subira Mgalu
- t
- Tanga
- Tanzania
- Tanzania.
- Tanzasnia
- Tazara
- TRA
- TV
- TZ & ZAMBIA
- Ubelgiji
- Ufaransa
- Uganda
- Urembo
- Vanessa Mdee
- Wazo Hai
- Wizara ya Afya Zanzibar
- Yamoto Band
- Yemen
- Zambia
- Zanzibar.Dk Mohammed Saleh Jidawi
- Zari
- Zarinah Tlale
- Zitto Kabwe






0 comments:
Post a Comment