Comments

Tazama Maajabu Haya (Baba yao P-Square) Mr. Okoye aliyefariki Nov 24, 2014 Kuzikwa leo Jan 30, 2015

P-Square na baba yao wakati wa mazishi ya mama yao 
Taarifa iliyowashtua wengi ni kuwa baba mzazi wa mapacha Peter na Paul wa kundi la P-Square la Nigeria, Mr. Moses Okoye aliyefariki dunia November 24 mwaka jana hakuzikwa mpaka sasa.
Mzee huyo anatarajiwa kuzikwa leo Ijumaa January 30 huko nyumbani kwao Ifite Dunu, Anambra State.

Haijajulikana bado sababu za kuchelewa kumpumzisha mzazi wao, lakini baada ya Mr. Okoye kufariki mapacha hao waliendelea na maisha yao mengine ya kawaida na kimuziki.

P-Square wamempoteza baba yao ikiwa ni miaka miwili toka waondokewe na mama yao Mrs Josephine Okoye aliyefariki July 11, 2012.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos