Comments

Kama ulizoea kuona gari zinagongana basi ona hii TREN mbili za abiria zagongana nchini SWITZERLAND

Polisi nchini SWITZERLAND wamesema garimoshi MBILI za abiria zimegongana Kaskazini mwa nchi hiyo na kujeruhi watu 5 ambapo wawili kati yao wako katika hali mbaya. Dereva moja wa garimoshi hizo amejeruhiwa vibaya.
Ajali hiyo imetokea katika eneo la RAFZ kilimota 30 Kaskazini mwa mji wa ZURICH. Magari ya uokoaji yameonekana yakikimbilia katika eneo la tukio kuwasaidia majeruhi wa ajali hiyo. 


Polisi wanendelea na uchunguzi kubaini chanzo cha ajali hiyo.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos