Comments

Keisha: Msanii wa Bongo Fleva,ambaye pia ni mlemavu wa ngozi amewalilia wenzake waliopoteza maisha kutokana na mauaji yaliyofanyika hivi karibu hapa nchini

Msanii wa Bongo Fleva,ambaye pia ni mlemavu wa ngozi (albino) Keisha amezungumza kwa uchungu kwenye kipindi cha Leo Tena kuhusiana na matukio ya mauaji ya Albino yanayoendelea hapa nchini,
Kila binadamu ana haki ya kuishi hivyo serikali inatakiwa kutilia mkazo katika kutokomeza mauaji dhidi ya albino na sio kuweka siasa mbele, wasanii wengine waliokuwepo ni Kajala,Shamsa Ford,Mwasiti na wengineo.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos