Comments

Maadhimisho Siku ya wanawake Duniani kitaifa kufanyika MOROGORO

                            Mkuu wa mkoa wa MOROGORO, Dakta RAJABU RUTENGWE
Mkoa wa MOROGORO unatarajiwa kuwa mwenyeji wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kitaifa yatakayoanza tarehe TATU hadi NANE mwezi ujao katika uwanja wa jamuhuri mjini Morogoro.


Mkuu wa mkoa wa MOROGORO, Dakta RAJABU RUTENGWE amewaambia waandishi wa habari kuwa maadhimisho hayo yanayotarajiwa kuzinduliwa na Rais wa ZANZIBAR na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dakta ALI MOHAMMED SHEIN yatahusisha maonyesho ya wanawake wajasiriamali pamoja na wadau wengine. 

Katika maadhimisho hayo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Zanzibar Dk ALLY MOHAMED SHEIN . 

Kauli mbiu ya siku ya wanawake mwaka huu ni uwezeshaji mwanamke ,tekeleza wakati ni sasa.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos