Comments

Mkurugenzi wa Mashtaka na Makosa ya Jinai Zanzibar amesema wananchi wanatakiwa kutoa ushahidi mahakamani kwa watu wanaofanya vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia

WANANCHI wametakiwa kutoa ushahidi mahakamani kwa watu wanaofanya vitendo vya udhalilishaji wa kijinsia kama ndiyo njia pekee ya kukomesha matukio hayo.Mkurugenzi wa Mashtaka na Makosa ya Jinai Zanzibar, Ibrahim Mzee alisema hayo wakati akipokea vifaa vilivyotolewa na shirika la watoto Save Children Fund kwa ajili ya kusaidia mwenendo wa kesi mahakamani.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos