Comments

Wachezaji wa timu ya taifa ya Ghana, Black Stars wamezawadiwa magari "2015 Jeep Grand Cherokee’

Wachezaji wa timu ya taifa ya Ghana, Black Stars wamezawadiwa magari mapya aina ya ‘2015 Jeep Grand Cherokee’
Magari hayo 30 yametolewa na kampuni ya Tanink Ghana ambayo ni wasambazaji wakuu wa Jeep nchini humo kama zawadi kwa kufanikiwa kuingia fainali kwenye kombe la AFCON 2015 ambapo Ivory Coast ilichukua ushindi.

CEO wa kampuni hiyo, Roger Klogo alidai kuwa serikali haijahusika kununua magari hayo.

Gari moja inauzwa kwa $76,000 ambapo magari 30 yamegharimu $2,280,000.

Pamoja na Grand Cherokee, kila mchezaji alipewa kitita cha $25,000 na shirika la taifa la mafuta la nchi hiyo, (GNPC).
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos