Comments

Barcelona yaichapa 3- 1 Villareal

Nchini HISPANIA, FC BARCELONA imeibuka na ushindi wa magoli MATATU kwa MOJA dhidi ya nyambizi ya VILLAREAL kwenye kombe la
mfalme na hivyo kutinga hatua ya fainali ya kombe hilo. 

Mabao ya FC BARCELONA yamefungwa na NEYMAR aliyefunga mabao MAWILI huku LUIS SUAREZ akifunga bao moja wakati goli pekee la VILLAREAL likifungwa na JONATHAN DOS SANTOS. Sasa FC BARCELONA watakutana na ATHLETIC BILBAO ambao jana wameibuka na ushindi wa magoli MAWILI kwa BILA dhidi ya ESPANYOL.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos