Comments

Jeshi la Nigeria latwaa mji wa Bama

Jeshi la Nigeria limesema limeurejesha mji wa Bama uliko kaskazini mashariki mwa Nigeria kutoka kwa wapiganaji wa Kiislam wa kundi la Boko Haram.

Wapiganaji wa Boko Haram walikuwa wakiudhibiti mji wa Bama, ambao ni wa pili kwa ukubwa katika jimbo la Borno tangu mwezi Septemba mwaka jana.

Mike Omeri, msemaji wa Rais Goodluck Jonathan, amethibitisha kuwa majeshi ya Nigeria yaliingia Bama.

Alipoulizwa na BBC ni kwa nini imechukua wiki mbili kuutwaa tena mji huo kabla ya uchaguzi wa rais na wabunge, amesema jeshi lilikosa zana muhimu.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos