Comments

wajasiriamali 362 wanufaika na mikopo ya DCB

mkurugenzi mtendaji wa DCB, EDMUND MKWAWA


Benki ya wananchi wa DSM – DCB imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 363.3 kwa wajasiriamali zaidi ya
362 wa mkoani DSM mwaka jana. 

Akitoa taarifa ya utendaji ya benki hiyo kwa mwaka jana, mkurugenzi mtendaji wa DCB, EDMUND MKWAWA amesema shilingi bilioni 76.56 za mikopo hiyo zilitolewa kwa wajasirimali wadogo kupitia mikopo ya vikundi ambapo asilimia 80 ya vikundi hivyo vilikuwa vya wajasiriamali wanawake.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos