Comments

H.Baba na mke wake Flora Mvungi Kuitwa Baba Kwa Mara ya pili


H.Baba amethibitisha kuwa mke wake Flora Mvungi ni mjamzito na hivyo wanatarajia kupata mtoto wa pili.


Akizungumza leo hii, H. Baba amesema miongoni mwa mafanikio aliyopata mwaka jana ni pamoja na kumpa ujauzito mwingine mke wake.

“Faida ya mwaka jana ni mwana mama Flora Mvungi kujaa tena,” alisema. “Nikwambie kitu kimoja mimba huwa haipigiwi kelele, wala mimba sio kwenye magazeti. Mimi mimba huwa inaonekana, nawafundisha vijana wenzangu mimba sio kelele kwenye magazeti wala kwenye media hapana na mimba inaonekana baba. Flora Mvungi ameonekana kwahiyo ana mimba tayari. Kwahiyo nawafundisha vijana wenzangu ukicheza mechi vizuri utapata matokeo mazuri.”
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos