Comments

Producer Lamar: Kimya Kingi Kinamshindo Mkubwa Wadau Wa Muziki Na Wasanii Get Ready

IMG_8021
Mtayarishaji wa muziki Lamar, ameweka wazi kuwa hajaishiwa ubunifu katika utayarishaji wa muziki lakini amefanya kazi nyingi za wasanii ambao hawataki kuziachia hali inayochangia aonekane kuwa kimya.
Kazi zake pekee zinazosikika hivi karibuni ni zile za kurudia nyimbo na kuzitengeneza katika mahadhi ya house, Refix. 

“Siku zote mimi niko tofauti, ujue watu hawaelewi mimi narekodi nyimbo lakini sina mamlaka ya ku-release wimbo wa msanii mpaka artist mwenyewe akubali ndio maana naonekana nipo kimya,” amesema Lamar.

“Lakini tracks narekodi kama kawaida na zipo bado kwenye library mpaka msanii mwenyewe awe tayari kuirelease ndio naziachia na utazisikia katika redio ndio hapo utajua kuwa mimi nimefanya kazi.”
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos