Comments

Nisher na Adam Juma ndio ma-director wa TZ:Joh Makini


Rapper Joh Makini kutoka Weusi Kampuni, amesema kuwa kwa Tanzania ina waongozaji wawili tu wa video ambao anaweza kuwapa dhamana ya kazi zake.
Joh amesema ingawa kuna wengine wadogo ambao wanachipukia lakini Nisher na Adam Juma ndio waongozaji wa video anaowakubali Tanzania. 

“Mimi kwa sasa hivi naona kama kuna ma-director wawili ambao mimi ninaweza nikawapa dhamana ambao ni Nisher na Adam Juma, wapo up-coming directors kama Hanscanna wanakuja sijui kama ulishawai kuona video zao? Lakini mimi nimeshaziona, niwazuri vijana wadogo lakini wanajituma kweli kweli wale kama wakipata support, nafikiri wanakwamishwa na equipment,” alisema Joh Makini.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos