Comments

Wizkid Kutua Tanzania mwaka huu


Mashabiki wa msanii kutoka Nigeria, Wizkid watarajie kumshuhudia staa huyo juu ya jukwaa la nyumbani.
Wizkid anatarajia kuja Tanzania mwaka huu (2015) kwa mara ya kwanza.

Mwimbaji huyo wa ‘Show You The Money’ ameweka ratiba ya shows anazotarajia kuzifanya na Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo ziko kwenye ratiba hiyo.

“Gambia ,London ,Tanzania ,Kenya, South Africa, Congo, Dubai , New York nd the Europe tour! Starboy starting 2015 heavy. Get ready guys !!” alitweet Wizkid
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos