Comments

Islamic State yamuua mateka mwengine wa Japan

Kenji Goto

Japan imeelezea ghadhabu yake kwa kundi la wanamgambo la Islamic State ambalo limetoa kanda ya video inayoonyesha mauaji ya mateka raia wa nchi hiyo Kenji Goto.

Japan imeyataja mauaji hao kuwa kitendo cha kikatili ambapo waziri mkuu wa Japan mwenye hasira amesema kuwa japan itaendela kushirikiana na nchi zinazopambana na kundi hilo.

Wiki moja iliyopita mateka mwingine raia wa Japan Haruna Yukawa aliuawa na wanamgambo hao.
Familia ya Kenji Goto

Kanda ya video ya hivi punde inafanana na zile zilizokuwa zikionyesha kuuawa kwa mateka wengine awali.

Kenji Goto ambaye ni mwandishi wa habari alitekwa nyara nchini Syria mwezi Oktoba mwaka uliopita.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos