Comments

Kundi la Boko Haram ladhibitiwa nchin Chad

Jeshi la Chad

Jeshi nchini Chad linaendelea kufanya mashambulizi dhidi ya wanamgambo wa Boko Haram eneo la kaskazini mashariki mwa Nigeria.

Ripoti zinasema kuwa ndege zake zilindesha mashambulizi kwenye mji wa Gamboru karibu na mpaka na Cameroon.

Siku ya Ijumaa Televisheni nchini Chad iliripoti kuwa jeshi la nchi hiyo liliwaua zaidi ya wanamgambo 120.

Waandishi wa habari wanasema kuwa kumekuwa na ushirikiano kwenye vita dhidi ya Boko Haram licha ya utawala nchini Nigeria kukosa kukiri kuwa wanajeshi wa Chad wamefanikiwa.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos