Comments

Rais wa Sudan Kusini , Salva Kiir, na kiongozi wa waasi, Riek Machar, wametiliana saini Ya Amani


Rais wa Sudan Kusini , Salva Kiir, na kiongozi wa waasi, Riek Machar, wametiliana saini kuundwa kwa serikali ya kugawana madaraka kuhitimisha vita vya zaidi ya mwaka mmoja.

Makubaliano hayo yamefikiwa katika mji mkuu wa Adiss Ababa, Addis Ababa.wanaume hao wawili wamekubaliana kuhitimisha mapigano na vita vya wenyewe kwa wenyewe mpaka kufikia March tano.

Kwa muda kidogo washauri namna gani ya kuunda mfumo wa serikali ya kugawana madaraka.

Taarifa ambazo BBC haijazithibitisha zinaeleza kwamba Rais Salva Kiir atasalia kuwa Rais wa nchi hiyo na Riek Machar atateuliwa kushika wadhifa wa maakamu wa Rais. Vyama hivyo viwili viliingia kwenye mapigano mara tu baada ya Machar kutimuliwa kwenye wadhifa wa makamu raisi mnamo mwezi December mwaka 2013.

Mazungumzo kadhaa kama hayo ya kutafuta suluhu yalishindwa kuzaa matunda.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos