Comments

Waziri Mkuu wa India,Narendra Modi ameahidi kulinda uhuru wa imani ya dini

Waziri Mkuu wa India,Narendra Modi ameahidi kulinda uhuru wa imani ya dini na kusema kuwa Serikali yake haitaruhusu kundi lolote la kidini kuwa na chuki dhidi ya jingine.
Akihutubia jamii ya kikristo mjini Delhi, ametoa wito kwa makundi yote ya kidini kuheshimiana.

Wito huo umekuja baada ya mfululizo wa matukio ya mashambulizi dhidi ya Makanisa, matukio yaliyosababisha ghadhabu miongoni mwa jamii ya Kikristo.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos