Comments

Big Sean anatarajia kuachia albamu yake mpya wiki ijayo iitwayo Dark Sky Paradise .

imebaki wiki moja big sean kuachia albam yake mpya iitwayo Dark Sky Paradise .
big sean ameendelea kupanda chati baada kuachia nyimbo zake tatu ukiwemo ule wa "I Don't F*** with You," na blessing ambao amewashirikisha kanye west na drake.

Kabla ya kuachia albam yake big sean ameachia ngoma nyingine, iitwayo "One Man Can Change The World,"ambayo amewashirikisha kanye west na john legend na kwenye wimbo huo wameelezea urafiki uliopo kwenye lable yao ya good music

big sean kwenye baadhi ya mistari ametoa heshima kwa bibi yake aliyekufa mwaka 2014 n albam yake inatarajia kutoka tar. 24.02.2015

                             
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos