Comments

Bunge la US lataka Ukraine ipewe Silaha

Wanachama wakuu wa bunge la wawakilishi nchini Marekani wamemwandikia barua Rais Obama wakimhimiza kutoa silaha hatari kwa Ukraine ili kuisaidia kupambana na waasi wanaoungwa mkono na Urusi.

Barua hiyo imevitaja vitendo vya Urusi kuwa dhihaka inayokiuka sheria ya kimataifa.Wanajeshi wa Ukraine wakikabiliana na waasi huko mashariki mwa Ukraine

Wamemtaka Obama kuidhinisha kusafirishwa kwa silaha za kujilinda haraka iwezekanavyo.

Obama alikuwa amesema kuwa Marekani inachunguza uwezekano wa kutoa silaha kwa Kiev iwapo juhudi za kidiplomasia hazitafaulu.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos