Comments

Ommy Dimpoz: Diamond si yupo na Zari au? Sidhani kama amemind mimi kufanya kazi na Wema

Kwa imani ya watu wengi Ommy Dimpoz ana kesi ya kujibu kwa Diamond Platnumz baada ya kumtumia Wema Sepetu kwenye video ya wimbo wake mpya Wanjera.

Hata hivyo Ommy amesema haoni kama kuna tatizo lolote kati yake na swahiba wake huyo licha ya Diamond kutoandika chochote kuhusiana na wimbo huo kama ambavyo amekuwa akifanya kwa wasanii wengine.

Ommy ameongea kuwa huenda shughuli nyingi za Diamond ndio sababu iliyomfanya akashindwa kuandika chochote kuhusiana na Wanjera.

Labda hajaposti yupo busy na simu yake, hata mimi kuna vitu vingine huwaga anaposti na mimi vinanipita pia,” amesema Ommy. “Kwahiyo huwezi ukasema hajaposti kwa sababu fulani na fulani. Diamond si yuko na Zari au? Kwahiyo hawezi tena akawa anafocus kwa mambo ya Wema. Wala hawezi kunimind mimi kwa sababu kamuona Wema, haiwezekani. Halafu kumbukeni shemeji yetu Zari ni mjamzito msitake kuwatia watu pressure.”
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos