Comments

Vikosi vya uokoaji Afrika Kusini vinaendeleza juhudi kuzima moto unaoteketeza misitu

                         AFRIKA KUSINI yaendeleza juhudi kuzima moto unaoteketeza misitu
Vikosi vya uokoaji nchini AFRIKA KUSINI vinapambana kuzima moto wa msituni ulianza kuteketeza misitu ya nchi hiyo tangu jumapili iliyopita. 

Maelfu ya ekari za uoto wa asili katika misitu kwenye mbuga za taifa nchini humo yameteketezwa kwa moto. Watu wanaoishi huko CAPE TOWN wameingiwa na hofu kutokana na moto huo wa msituni, ambao hauonyeshi dalili ya kuzimika. 

Upepo mkali umekuwa ukiongeza kasi ya moto huo wa msituni. Waokoaji wamekuwa wakitumia helikopta kujaribu kuzima moto huo katika maeneo ambayo magari ya kawaida ya zimamoto yanashindwa kufika.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos