Comments

Jackie Chan Adharaulika CHINA

 
Mtoto wa Jackie Chan, Jaycee Chan amefungwa jela miezi sita kutokana na kosa la matumizi ya bangi. Amepigwa pia faini ya $322. 

Chan, 32, alipatikana na hatia kwenye mahakama ya Beijing nchini China kwa kuwahifadhi wengine nyumbani kwake kutumia madawa.

Polisi walivamia nyumbani kwake na kukutana gram 100 za bangi.

Jackie Chan aliyewahi kuwa balozi wa kitengo cha polisi cha kuzuia madawa ya kulevya alidai kuwa mwanae amemuabisha na alisikitishwa na tabia yake.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos