Comments

JUMA NAURE aweka wazi chanzo cha ugomvi wa diamond na ally kiba

                         
Nimeona kukaa kimya sio dawa. Nasikitishwa sana na wa2 wanaosema kwmb mm nipo upande wa Alikiba na namponda Diamond, kitu ambacho hakina ukweli wowote. Ifahamike kwamba hawa wote ni madogo zangu na wote nawakubali kwa mchango wao na kuleta chachu katika gemu la muziki wa 
Bongo.
Ieleweke kwamba Sina bifu na yeyote kati yao, kuposti picha nikiwa na m1 wao haina maana nipo team flan au nipo upande wa m1 wao. Kama wewe ni mpenda AMANI na ungependa cku hawa w2 wamalize tofauti zao, fanya kuComment 'Peace'. Ndio nshamaliza hivyooo sihitaji tena maswali mengine kuhusu wao. Ovaaaaaaaaaaaa hayo ndio maneno ya juma nature kupitia official account yake ya facebook..
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos