Comments

Michael Jordan aingia kwenye orodha ya Forbes kwa mara ya kwanza kama bilionea


Jarida la Forbes limetoa orodha yake ya mwaka ya mabilionea, na mchezaji mkongwe wa mpira wa kikapu Michael Jordan ameingia rasmi kwenye orodha hiyo kwa mara ya kwanza.

Jordan ni miongoni mwa mabilionea wapya 290 walioingia kwenye orodha hiyo iliyotoka Jumatatu (March 2) na amekamata nafasi ya 513.

Forbes wameandika:

The most famous rookie on the billionaires list? Michael Jordan, arguably the greatest basketball player of all time and indisputably the best-paid athlete of all time. Most of his cash comes from Nike payouts on his iconic brand. The Jordan brand grossed an estimated $2.25 billion in 2013, earning his Airness some $90 million. But his most valuable asset is his stake in the Charlotte Hornets, worth more than $500 million.
Share on Google Plus

About Unknown

    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment

New Hope Company. Powered by Blogger.

Facebook

Wazo Hai

Search This Blog

Blog Archive

Flickr

Social Share

Featured
Featured

Labels

Social Icons

twitterfacebookgoogle pluslinkedinrss feedemail

TANGAZA NASI HAPA

East Africa Radio Live Here

Tags

Fashion

Sponsor

Videos